Breaking News
recent

LULU HAASA USAFI MAKANISANI

Msanii wa filamu nchini,Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameweka wazi kwa nini anakerwa na uchafu kwa baadhi ya waumini makanisani.

Lulu alisema waumini wawapo makanisani na hata nje wanatakiwa kuzingatia usafi wa mwili na roho kwani kuna kuna muda huwa wanasalimiana wanapokuwa ibadani kwa kupeana mokono hivyo kama hawatazingatia usafi huenda ikaleta tabu latila lulamilisha ibada.

“Mnaoweka vidole puani Kanisani, hamjui kama kuna ule muda wa kupeana mikono ua mnatakaga kugundua nini?Tuwe wasafi wa Roho na mwili jamani,Wallahy kuna mmoja alifanya hivyo pembeni yangu leo sijampa nkono bali nimempa ukweli na wengine wajifunze kupitia yeye pia” alisema Lulu


Aidha mrembo huyo aliongeza kwa kusema kuwa kuna ustalabu unapaswa hutumike ndo mana tunakumbushana na  kuelimisha katika mambo kama haya. 

Na Brighiter Masaki.

No comments:

Powered by Blogger.