KICHUYA NI HABARI NYINGINE
Mchezaji wa timu ya simba shiza ramadhani kichuya ameonesha
makali yake jana katika mechi ya ligi kuu soka Tanzania bara kati ya simba
dhidi ya stand united uliochezwa katika
uwanja wa kambarage mjini shinyanga katika mchezo huo kichuya alionesha kiwango
cha juu na kuweza kuipatia bao safi la kuongoza bao ambalo alifunga kwa ustadi
mkubwa baada ya kupokea pasi toka kwa john book Adebayo bao ambalo lilidumu adi
mwishoni mwa kipindi cha kwanza
Aidha kipindi cha
pili mchezaji huyo alionesha uwezo Zaidi kwa kushirikiana na wenzake na
kuifanikishia timu yao kupata bao la pili kupitia kwa mavugo aliyeingia akitokea benchi kuchukua
nafasi ya mganda Emanuel okwi aliyetoka mwanzoni mwa kipindi cha pili
Na Hamad Nasibu

No comments: