Breaking News
recent

WANANCHI MTAMA "TUTANUFAIKA VIPI NA BOMBADIA"


Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye ameweka picha inayowaonyesha wanakijiji ambao anadai wamemuuliza kuwa bomberdia ndio nini? 

 Huku wakihoji kuwa wao wa vijijini wananufaika vipi na bomberdia?. Nape kupitia ukurasa wake wa Twitter ameweka picha ambayo inaonyesha wanakijiji hao wakimsikiliza kwa makini huku akisema wanapambana na hali zao. 
Watu hawa wanapambana na hali zao! Waliniuliza bomberdia ndio nini? Na sie wa vijijini tutafaidikaje au ni kwenu mjini tu!?? 

By Ester Mboga

No comments:

Powered by Blogger.