Meneja wa Manchester City, Pep Guardiola
amesema kuwa kucheza katika uwanja wao wa nyumbani kunauwezekano wa kushinda
mabao mengi katika mchezo wao wa klabu bingwa barani Ulaya.
“Tunapocheza nyumbani tunahisi tutafunga
mabao mengi” amesema mkufunzi wa City, Pep Guardiola. “Ni nafasi ngapi
tutatengeneza na kufunga lazima utakuwa mchezo wenye ushindani kwa hivyo lazima
tuwe na tahadhari”.
Manchester City itaingia kibaruani leo usiku
kutupa karata yake katika mchezo wa klabu bingwa barani Ulaya dhidi ya Shaktar
Donetsk
By Douglass David
GUARDIOLA:TUTASHINDA MABAO MENGI TUKIWA NYUMBANI
Reviewed by
diploma2nd network
on
September 27, 2017
Rating:
5
No comments: