DOGO JANJA UWOYA NI MSHIKAJI WANGU.
Mkali wa ngoma ya Ngarenaro Abdulaaziz Chende’Dogo Janja’, amefunguka kuwa
skendo inayosambaa ikimhusisha yeye na Malkia wa Bongo Muvi, Irene Uwoya, kuwa wanavunja
wanamahusiano ya kimapenzi kisiri, ishu
hiyo imeleta mgogoro kati yake na mpenzi wake, ambaye anadhani
huenda labda ishu hiyo ina ukweli wowote ndani yake.
Dogo janja ambaye hata ashikiwe mtutu wa bunduki, hajawahi kukubali kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Uwoya, alisema kuwa yeye Uwoya ni mshikaji wake tu wanawasiliana mara chache sana nasi vingine.
“Sina uhusiano wa kimapenzi na Uwoya, kwanza hii ishu imeniletea ugomvi na Mamlai wangu {mpenzi wake}, ni stori ambazo zipo nazisikia, Uwoya ni mshikaji wangu tu tunawasiliana mara chache sana, lakini mapenzi naye sina.”alisema Dogo Janja.
Na Brighiter Masaki.
Dogo janja ambaye hata ashikiwe mtutu wa bunduki, hajawahi kukubali kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Uwoya, alisema kuwa yeye Uwoya ni mshikaji wake tu wanawasiliana mara chache sana nasi vingine.
“Sina uhusiano wa kimapenzi na Uwoya, kwanza hii ishu imeniletea ugomvi na Mamlai wangu {mpenzi wake}, ni stori ambazo zipo nazisikia, Uwoya ni mshikaji wangu tu tunawasiliana mara chache sana, lakini mapenzi naye sina.”alisema Dogo Janja.
Na Brighiter Masaki.

No comments: